Skip to main content

MAONI NA USHAURI KUTOKA KWA MASHABIKI WA CLUB YA COASTAL UNION

Ibrah Ibrahm Jamani ningependa sana kutoa mchango wa mawazo ktk kutaka timu yetu ifanikiwe na ifike mbali.

Hatuna budi kuhakikisha tuna kuwa na timu nzuri kuanzia ngazi ya chini mpaka juu, kweli niwajibu wa viongozi wetu kuhakikisha tunakuwa na timu bora ya u20 ambayo itakuwa ni tawi lakupata vijana ambao watakuwa tegemeo hapo baadae na mfano mzuri nipale tulipo fanikiwa kwa DANI amekuwawa mchezaji mzuri na tegemeo leo hii kwa coastal union

Amakweli M/MUNGU ameibariki TANGA kwa watoto wenye vipaji vya kucheza mpira, viongozi hivi ss mpira huchezwa lakini pesa hutumika lazima mtumie fedha katika kupatikana kwa vijana na fedha ya kuwatunza yaani kuwaonyesha kuwajali nakuwa mahitaji muhimu niwazi kuwa zipo timu zinajipatia wachezaji kupitia timu B ( u20) . Leo hii tanga inatawaliwa na vijana wengi wenye vipaji lakini hupotea pasi nakuto fahamu wapi wamepotelea.
Sio kwel kwamba coastal union inashindwa kuwa na academic au timu nzuri ambayo tuta pata wachezaji kama vilabu vingine kama AZAM,SIMBA NA JKT RUVU nidhahiri spka huchezwa na vijana na hata ukiangalia YANGA wanafanya usajili wa vijana wengi ambao leo hii wanacheza timu ya taifa tanzania mifano mizur MESSI,SAIMON MSUVA NA DEMAYO Hawa nivijana toka timu ya taifa vijana mpaka taifa stars

Nijukumu letu kuhakikisha hata Tanga tunapata vijana kama hao lakini ni kwaku hakikisha tunatakiwa kuwa na timu nzuri

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com

Video: Blackchild – Put Inside

David Abdulichel, also known as BlackChild is a Ghanaian from Asanti origin, born and raised in Lagos Nigeria. BlackChild, who is a recording artist, song writer and performer started his music career back in 2000 and since then has released four singles. He has also worked with top producers in Nigeria such as Fliptyce, Spanky, Meca E & BrainMix to mention but few. BlackChild Abdul rose to prominence with his hit songs “Treasure”, “Ele” featuring Rock Steady, “Could It Be Love” featuring Cartiar, “All I Need” featuring Solid Star. This time around he comes out with “Put Inside” which sees him delivering lines in french and his native language and is steadily generating buzz and enjoying airplay on radio stations within and outside Lagos. Listen up!