Skip to main content

Guinea yaruhusu silaha kuingizwa Mali

Jeshi la Mali lilipindua serikali na kuishtumu serikali kwa kutochukua hatua kali dhidi ya waasi
Serikali ya Guinea imeruhusu silaha zilizokuwa zinapelekwa nchini Mali kupitia nchini humo, kuweza kukabidhiwa Mali baada ya kuzizuilia kwa muda kwa sababu ya tisho la usalama nchini Mali.
Shirika la nchi za ukanda wa Magharibi, Ecowas, ambalo limekuwa likitatua mgogoro wa kisiasa nchini humo, lilichunguza silaha hizo zilizokuwa zimebebwa kwa Meli kuidhinisha ziingizwe Mali.
Zana hizo zinatoka nchini Bulgeria na zimepitishiwa Guinea kwani Mali haina bandari.
Mwandishi wa BBC Alhassan Sillah, mjini Conakry, anasema kuwa habari za kuzuiliwa kwa meli hiyo zilitolewa mwezi Agosti, na kwamba hakuna taarifa rasmi imetolewa kuhusu silaha hizo.
Kumekuwa na mikutano kadhaa kutoka Mali na shirika la Ecowas kuamua hatua za kuchukua kuhusiana na silaha hizo.
Shirikia la habari la AP lilimnukuu waziri wa ulinzi wa Guinea Abdoul Kabele Camara, akisema kuwa meli hiyo ilikuwa imebeba vifaru, magari za kivita na sialaha nzito.
"Ecowas lilifika hapa kubaini kilichokuwa ndani ya meli hiyo na kwa pamoja tukaamua kuwa tutairuhusu kupiitisha silaha hizo. Sasa hivi tunasubiri serikali ya Mali ijiandae namna itakavyo safirisha silaha hizi kutoka hapa'' alisema bwana Camara
Jeshi la Mali lilitwaa mamlaka mwezi jana kabla ya uchaguzi mkuu likishtumu aliyekuwa rais Toure, kwa kukosa kukabiliana vilivyo na waasi wa Tuareg, lakini waasi hao baadaye walitumia nafasi ya mapinduzi hayo kuzua ghasia na kudhibiti miji kadhaa ya eneo la Kaskazini.

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com

Video: Blackchild – Put Inside

David Abdulichel, also known as BlackChild is a Ghanaian from Asanti origin, born and raised in Lagos Nigeria. BlackChild, who is a recording artist, song writer and performer started his music career back in 2000 and since then has released four singles. He has also worked with top producers in Nigeria such as Fliptyce, Spanky, Meca E & BrainMix to mention but few. BlackChild Abdul rose to prominence with his hit songs “Treasure”, “Ele” featuring Rock Steady, “Could It Be Love” featuring Cartiar, “All I Need” featuring Solid Star. This time around he comes out with “Put Inside” which sees him delivering lines in french and his native language and is steadily generating buzz and enjoying airplay on radio stations within and outside Lagos. Listen up!