Skip to main content

Posts

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga

Recent posts

NEW JOINT | dayna special nipe nafasi {Audio}

NEW JOINT | DJ DAVIZO _-_ G better ft la repablica take you home {Audio}

HANC RICCO_-_ILE MBAYA .mp3

Andrew charles umenishindia.mp3

MIMI SIRINGI ILA MAZINGIRA NINAYOFANYIA KAZI KWA SASA NDIYO YANA NIFANYA NAONEKANA KUWA NARINGA

  Andrew music afunguka jinsi mazingira yanavyombana mpaka baazi ya wasanii kumchukulia kama ni producer mwenye maringo Akipiga stori na c.e.o wa blog hii producer Andrew alifunguka ya moyoni na kuweka wazi kua yeye sio mtu wamaringo ila mazingira yake ya kazi ndio kikwazo chakutokua huru kufanya kazi na wanaotamani kufanyanae kazi Pia producer andrew amesema kua yeye ni producer mwenyeuwezo mkubwa na anaweza kufanya kazi na msanii yeyote mwenye kipaji Producer Andrew aliongeza kua mwaka 2017 ni mwaka wa mapinduzi kwake ya kiburudani zaidi Yah!soon mapinduzi makubwa yatakuja. Nipo kwenye hatua za mwisho kujenga studio yangu kwa ajili ya kuinua sanaa yetu ya Tanga. Unajua hapa Huruma nashindwa kufanya kazi na watu wengi wa muziki wetu wa kizazi kipya sababu ya nature ya studio Watu wanasema sana kitaa kuwa naringa wanashindwa kujua kuwa pale sina mamlaka ya kujiamulia mambo Ndio maana nikaamua nitengeneze studio ili nikidhi kiu yao ya kufanya kazi na mimi kikamili