Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2012

SIRI YANGU YA KUTUMIA LAFUDHI YA KIMASAI

  HATIMAYE msaani maarufu wa vichekesho nchini, Gilliady Severine a.k.a Masai Nyotambofu, ametoa siri yake ya kutumia lafudhi ya jamii ya Kimasai katika kazi yake ya sanaa ya maigizo na vichekesho. Akizungumza na blog hii jijini hapa juzi, Nyotambofu alisema kuwa, yeye aliamua kutumia lafudhi ya Kimasai baada ya kubaini kuwa ni ngumu na hata waliyokuwa wakijaribu kuitumia katika sanaa mbalimbali, hawakuweza kukidhi mahitaji ya lafudhi ya lugha hiyo. Msanii huyo amekuwa akisikika katika matangazo mbalimbali yanayorushwa na vituo vya radio hapa nchini, hasa ya uhmasishaji wa kuacha pombe, yaani ‘ulevi noma’ lilitolewa na Idara ya Ustawi wa Jamii wakishirikiana na Jeshi la Polisi. “Ndugu mwandishi, niliamua kutumia lafudhi ya Kimasai, kwani nilishafanya utafiti na kubani kuwa, lugha hii ni ngumu kuiga, pia niliangalia wasanii ambao walikwisha kujaribu kuitumikia lafudhi ya Kimasai, nikaona hawajakidhi kabisa ndipo nikaamuua kuitumia na mpaka sasa najivunia nimeweza,” alis

MASAI NYOTAMBOFU WA VITUKO SHOW KATIKA TAMASHA LA KUZUIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VIRUSI VYA UKIMWI KATIKA BIASHARA YA NGONO

                 Msanii wa vichekesho hapa nchini Tanzania, Gilliady Severine maarufu kama Masai Nyotambofu ambae anafanya vizuri katika kipindi cha vichekesho cha Vituko Show kinachorushwa na channel Ten, Pia ni msanii wa bongo fleva ambae kwa sasa anawibo wa Rungu na Mukuki, Amewahimiza vijana kujitoa katika mtandao wa ngono na kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI kwa wakina dada wanaofanya biashara ya Ngono pamoja na wateja wao,ambapo alialikwa kutumbuiza  katika tamasha lililoandaliwa na Dhahabu Arts Group ambalo lilifanyika Mnazi mmoja jijini Dar es saalam. Mradari wa kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI unatekelezwa hapa jijini Dar es Saalam ambapo kunaidadi kubwa ya wanaofanya biashara ya Ngono pamoja na wateja wa biashara hii.

THE-FRESH 2012 blog a wishes you Happy! Eid El hajj Enjoy! with family and friend EID MUBARAK!

Jembe lenu linawatakia Eid njemaaaaaaaa!!!!!! EID MUBARAK! 2 all!

KAULI YA BWANA MISOSI KWAWOTE WANAOMPA USHIRIKIANO WAKATI HUU WAMSIBA WA KAKA YAKE MAREMU Emanuel Gabriel Rushahu!

Mambo vipi ndugu zangu asanteni kwa kunifariji' najua wapo wengi wangependa kuhudhuria mazishi ila kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wao watashindwa kuhudhuria mazishi leo siku ya ijumaa tar 26 oct, ila kwa rambi rambi zao kwa marehemu kaka yangu Emanuel Gabriel Rushahu wanaweza kutumia na hii M pesa 0763558855 nitaiwakilisha kwa familia katika daftari la michango na mwili tutauaga hapahapa nyumbani kinyerezi mida ya saa sita mchana pia misa ya mazishi ni saa nane mchana katika kanisa katoliki segerea na tutampumzisha katika makaburi ya hapohapo segerea..

PENZI LA SHILOLE NA BARNABA LAREJEA KWA SIRI

KUNA tetesi kuwa, penzi lililokuwa limekufa kati ya mwigizaji wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Mbongo Fleva, Elias Barnaba limerejea kwa ari, nguvu na kasi mpya. “Hivi karibuni wawili hao walionekana chobingo, Mbeya kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta na hata Dar pale Leaders Club, walikuwa "close" nyuma ya jukwaa katika gari la Shilole,” alisema mpashaji wetu. Mwanahabari wetu aliwatafuta hewani wote, lakini Shilole ndiye aliyepatikana, akafunguka: “Kwani tatizo lipo wapi tukirudiana? Mbona hamuwashangai akina Chris Brown na Rihanna? Mapenzi ni upofu acheni hizo,” alisema Shilole. 

HUU NDO UTETEZI ALIOUTOA NAIBU WAZIRI WA ELIMU KUHUSIANA NA "KOSA LA KIBINADAMU" ALILOLITENDA

Mheshimiwa Philipo Mulugo Kuanzia juzi taarifa na video ya Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi wa Tanzania Philipo Augustino Mulugo zimeanza kusambaa kwa watanzania wengi kuhusu alichosema akiwa Afrika Kusini kwenye mkutano wa kimataifa kwamba Tanzania ni muungano wa visiwa vya bahari ya Hindi, Pemba na Zimbabwe. Mulugo leo amezungumza na Power Breakfast ya CLOUDS FM na kusema kabla ya yeye kupanda kuanza kuzungumza kulikua na kiongozi wa Zimbabwe ambae alitoka kuzungumza na nina mkariri akisema  “sasa ilibidi lazima baada ya kufika pale ni lazima umshukuru mwenzako aliepita sasa kama mawazo ndiyo yaliyokua yamedhania hivyo kwamba basi hapa naitamka Zimbabwe kwa sababu zote zimeanzia na Z labda ilitokea hivyo lakini nakiri kabisa kwamba sikua na makusudio kwamba naitamka Zimbabwe lakini kule kwenye power presentation inaonekana kabisa ukifungua pale ni Tanzania imeungana na Zanzibar Pemba na Tanganyika kama ambavyo tunajua kwa sababu ile ni historia ha

Tigo Tanzania

Wapendwa, mshindi wa shindano hili atapatikana tarehe 31 mwezi wa kumi saa sita usiku. Kupata nafasi kubwa ya kujishindia iPhone 5 na Tigo iCard, anza kushare sasa na marafiki zako wengi uwezavyo! Share itakayokuwa na LIKES nyingi zaidi ndiyo itakayoshinda. Start sharing!!!

MADEE AJITOA TIP TOP CONNECTION

MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya anayewakilisha pande za Manzese,  Hamad Ally ‘Madee’ , kutoka kundi la  Tip Top Connection , inadaiwa kuwa amejitoa katika kundi hilo, na sasa anataka kufanya muziki kivyake na sababu za kujitoa kwake bado hazijulikana. Chanzo chetu cha habari kilichozungumza nasi , kwa sharti la kutotajwa kwa jina lake kilidai kuwa wiki iliyopita msanii huyo alikuwa kwenye mzozo na mmoja wa wasanii wa kundi hilo lakini waliweza kupatana ingawa jamaa bado anaonekana kutopenda kile kilichotokea lakini bado kuna vitu vingine vya ndani zaidi vilivyosabisha hadi jamaa kuamua kujiweka pembeni. Chanzo hicho kilichopo karibu na wasanii hao hakikusita kueleza kuwa ndani ya kundi hilo kuna matatizo mengi, kwani hata kuondoka kwa baadhi ya wasanii waliokuwa hapo kulisababishwa na matatizo hayo ambayo yamemfanya Rais huyo manzese kujiengua, ingawa bado kuna mvutano mkubwa unaoendelea ili kumrudisha kundini jamaa huyo bila taarifa za mkwaruzano huo kutoka nje.

MUME WA JACK PATRICK AACHIWA HURU NA KUKAMATWA TENA...

BAADA ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu jijini Dar kumuachia huru mume wa mwanamitindo maarufu Bongo, Jacqueline Patrick, aitwaye Abdullatif Fundikira kwa kesi ya kusafirisha madawa ya kulevya iliyokuwa inamkabili, jeshi la polisi limemkamata tena na kumrudisha lupango   Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilitokea Jumatano iliyopita katika mahakama hiyo ambapo Hakimu Riyad Shamshama alimfutia mashitaka mtuhumiwa huyo na kumuachia huru kutokana na makosa yaliyofanyika wakati wa kumfungulia kesi hiyo. Hakimu huyo aliuambia upande wa mashitaka kuwa, kama wanataka kumbadilishia mashitaka mtuhumiwa, wanatakiwa kumsubiri nje ili wamkamate na kumfungulia mashitaka upya. Kama walivyoshauriwa, baada ya kutoka nje, polisi walimkamata Abdullatif wakati akikumbatiana na ndugu zake waliokuwa wakiamini kuwa kesi hiyo imekwisha. Polisi walimsweka Abdullatif katika mahabusu ya mahakama hiyo ili kujiandaa kumpeleka kituoni na kisha katika ofisi ya mwendesha m

HAPPY EID EL HAJJ!

THE-FRESH 2012 a wishes you Happy! Eid El hajj Enjoy! with family and friend EID MUBARAK!

AFRICAN LION KUBANWA MBAVU NA COST UNION JIJINI TANGA KWA BAO 1-0

                                         Moja ya mikiki walio ipata african lion zidi ya coast union                                          Goli kipa wa African akiwa chin kwa ajili ya matibabu                                          ni baada ya kupata shuti kali kutoka kwa lameck                                        kipindi cha pili kilicho zalisha goli kwa coast wa gosi wa                                          Mashabiki lukuki waliojitokeza kuipa moyo timu yao                                          ya Tanga ambao wamelizunguka basi lao la COAST                                        Hawakuwa nyuma katika kuwasindikiza wapinzani wa                                        African lion ambao hawakuambulia litu katika mechi yao                                        ya leo

MAGAZETI YA LEO 25 OCT

  . . . .

RATIBA NA UTARATIBU MZIMA WAMAZISHI YA MAREHEMU "Emanuel Gabriel Rushahu" KAKA YAKE NA MSANII BWANA MISOSI!

Mambo ndugu zangu.. Napenda kuwajulisha mpangilio mzima wa mazishi ya kaka yangu Emmanuel Gabriel Rushahu"msiba upo nyumbani kwa mama misosi kinyerezi mwisho na mazishi yatafanyika siku ya ijumaa(tar 26/10/2012) na kuanzia saa sita mchana tutakua tunauaga mwili wa marehemu hapa hapa nyumbani kinyerezi na misa ya mazishi itafanyika saa nane mchana ktk kanisa katoliki la segerea na baada ya misa tutakwenda kumpumzisha ktk makaburi ya segerea"ndugu jamaa na marafiki karibuni tumsindikize kaka yetu"Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...

Washiriki Redd’s Miss Tanzania 2012 watembelea mapango ya Amboni

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2012, wamekamilisha rasmi ziara yao ya kujionea vivutio vya utalii kwa vitendo Kutembelea Mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya Arusha, Manyara, Moshi na Tanga. Warembo hao wakiwa katika mapango hayo ya kale ya Amboni Tanga waliweza kujionea vitu mbalimbali ambavyo ni vya kipekee na vyakuvutia vilivyopo katika mapango hayo ya asili ya zama za kale. Miongoni mwa vitu vilivyopo huko kwenye mapango hayo ni sanamu za aina mbalimbali za Bikira Maria, Maandiko ya Quran, Daraja, sanamu za jinsia ya kike na kiume, chui, na vitu vingine mbalimbali vya kuvutia. Angalia picha za ziara hiyo ya Mapango ya Amboni.

Guinea yaruhusu silaha kuingizwa Mali

Jeshi la Mali lilipindua serikali na kuishtumu serikali kwa kutochukua hatua kali dhidi ya waasi Serikali ya Guinea imeruhusu silaha zilizokuwa zinapelekwa nchini Mali kupitia nchini humo, kuweza kukabidhiwa Mali baada ya kuzizuilia kwa muda kwa sababu ya tisho la usalama nchini Mali. Shirika la nchi za ukanda wa Magharibi, Ecowas, ambalo limekuwa likitatua mgogoro wa kisiasa nchini humo, lilichunguza silaha hizo zilizokuwa zimebebwa kwa Meli kuidhinisha ziingizwe Mali. Zana hizo zinatoka nchini Bulgeria na zimepitishiwa Guinea kwani Mali haina bandari. Mwandishi wa BBC Alhassan Sillah, mjini Conakry, anasema kuwa habari za kuzuiliwa kwa meli hiyo zilitolewa mwezi Agosti, na kwamba hakuna taarifa rasmi imetolewa kuhusu silaha hizo. Kumekuwa na mikutano kadhaa kutoka Mali na

T.I.D AIMEZEA MATE "KILIMANJARO MUSIC AWARDS"

Msanii wa ‘Kiuno’ Khalid Mohamed aka Top In Dar amesema anatamani aumalize mgogoro wake na waandaaji wa tuzo za Kili baada ya mwaka 2010 kukataa kushirikishwa kwenye tuzo hizo. “I Really want to finish my differences with Kili Music Awardz so I can pursue my dream of becoming a better Artist for my Country,” ameandika leo TID kwenye ukurasa wake wa Facebook. “Sometimes in life u feel the fight is vver and seemz as tho the writings is on the wall,Superstarz u finally made bt ur picture become tainted that is wat they call Rise and Fall-Sting and Craig.” Baada ya kutajwa kuwania tuzo za Kili mwaka 2010, TID aliandika barua ndefu kuzungumzia sababu za kujitoa kwenye tuzo hizo.   HII NDO BARUA  YAKE: “Naomba radhi kwa mashabiki wangu wote kutoka pande zote za sayari hii najua mlikua mnasubiria kunipigia kura kwenye hiki kinyanganyiro cha award hizi za kilimanjaro,najua imekua uamuzi muafaka kwangu kujitoa kwene awards hizi basi naomba muelewe sababu z

MWILI WA ALIEKUWA RPC MKOANI MWANZA ASCP LIBERATUS BARLOW WAAGWA LEO MKOANI HUMO

hapa akiwa anaingizwa katika viwanja vya nyamagana jijini Mwanza kwajili ya salamu za mwisho kwa waombolezaji Hii ndio safari ya mwisho ya aliekuwa kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza ASCP Liberatus Barlow (53), alieuwawa juzi kwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi ameacha mjane na watoto wa nne. Shughuli ya kuuaga mwili wake ilifanyika leo kuanzia saa Nne asubuhi hadi saa Kumi jioni katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza, ikihudhuriwa na mamia ya watu kutoka jiji hilo na viunga vyake pamoja na watu kutoka mikoa ya jirani.

Lance Armstrong bado ni mahiri

Alipokonywa medali saba za ushindi wa Tour de France Mwendeshaji baiskeli Alex Dowsett wa timu ya Sky, amesema Lance Armstrong ataendelea kukumbukwa kama mwendeshaji baiskeli mahiri ulimwenguni, licha ya madai dhidi ya Mmarekani huyo ya kutumia dawa za kuongezea nguvu michezoni. Shirika la kupambana na utumizi wa dawa za kuongezea nguvu nchini Marekani, lilimpokonya medali zote saba alizokuwa amepata Armstrong katika mashindano ya baiskeli ya Tour de France. Mwendeshaji Dowsett, kutoka Uingereza, na mwenye umri wa miaka 24, alisema: "Yeye bado ni mahiri katika mchezo huu. Mtu ambaye alikuwa na saratani aliweza kurudi tena katika mchezo, na kupata ushindi wa Tour de France. "Nadhani yaliyompata sio muhimu, na sidhani ni mambo ya kujali." Dowsett alijiunga na timu ya Sky mwaka 2011, kutoka timu ya Marekani inayofahamika kam

PICHANI Salma Jabu Nisha NA KAMERA MAN WAKE

Huyu jamaa namkubali sana kikazi,habahatishi KABUTI ONYANGO,,hapa tunahakiki PUSI NA PAKU,,ndo CAMERA MAN NA MSHAURI wa NISHA'S FILM PRODUCTION,,salute jembee

Watu wote hawawezi kuandika Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Tume ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu, Augustine Ramadhani. Picha na Michael Jamson

MUHTASARI WA TAARIFA YA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YA UCHUNGUZI WA TUKIO LILILOPELEKEA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI KILICHOTOKEA SEPTEMBA 2, 2012 KIJIJINI NYOLOLO, WILAYA YA MUFINDI, MKOANI IRINGA

UTANGULIZI Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) ni idara huru ya serikali iliyoundwa kwa mujibu wa Kifungu cha 129(1)(c) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Na. 7 ya mwaka 2001. Jukumu kubwa la Tume ni kulinda, kutetea na kuhifadhi haki za binadamu nchini. Katika kutekeleza jukumu hilo Tume imepewa mamlaka ya kupokea malalamiko (kwa njia mbalimbali) kutoka kwa mtu yeyote au kuanzisha uchunguzi wake yenyewe endapo itaona kuna uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora. Kwa kuzingatia majukumu hayo, Tume ilianzisha uchunguzi wake yenyewe baada ya vyombo vya habari kutoa taarifa ya tukio la kifo cha Daudi Mwangosi. Tume iliunda timu ya watu watatu iliyoongozwa na Mhe. Kamishna Bernadeta Gambishi akisaidiwa na maafisa wawili, Bwana Gabriel Lubyagila na Bwana Yohana Mcharo. Timu hiyo ilifanya uchunguzi wake kuanzia tarehe 13-19 Septemba, 2012. Katika uchung

CHEGE ADAIWA KUZAA NA MKE WA MTU

Msanii wa hit ya ‘Mkono Mmoja’ Chege Chigunda aka Mtoto wa Mama Said ametupiwa shutuma kali kuwa amemzalisha mke wa mtu. Akiongea na U Heard ya Clouds FM leo, mume huyo aliyejitaja kwa jina la Jose mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma amesema mke wake aitwaye Salma amejifungua mtoto anayefanana kila kitu na Chege. Akizungumza kwa jazba, Jose amesema yuko tayari kwenda kuchukua vipimo vya DNA na kama vikionekana negative atamlipa Chege shilingi milioni tano. Amesema kesho anaanza safari yake ya kuja Dar es Salaam kumleta Salma na mwanae kwa Chege ambaye anasema ndiye baba yake mzazi huku akitishia kumfanyiaa kitu mbaya staa huyo. Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Chege aliyekuwa akiongea kwa dharau amesema hajui lolote na wala hamfahamu Salma.

Hii Ndio Orodha ya Mastaa wa Kike Wanao Jiuza Nchini China

Mafra Rehema Fabian Odol mwanafunzi CBE OMARY MFANYABIASHARA ANAEWANUNUA MASTAA WA KIKE NA MABINTI WA KIBONGO Jackline Cliff Catherine Tumezoea kusikia sijui flani kaenda china sijui nani yuko china bila kujua kaenda kufanya nini cha msingi. Dodoso  imefuatilia na kubaini kinachowapeleka baadhi ya hao mastaa wachafu na wasichana wabovu huko china. Dodoso  imebaini kuwa baadhi ya mastaa wachafu huenda kujiuza kwa mfanyabiashara mmoja wa kitanzania anaejulikana kwa jina la omary ambae huwatumia TICKET na kuwalipia viza kisha wadada hao kwenda kumburudisha mfanyabiashara huyo kwa kitanda na baada ya hapo kulipwa dola 500 kama mshahara wa kazi yao. Mfanyabiashara huyo ameandika list yakutosha ya wasanii wa kike aliolala nao na bado anaendelea na mchakato huo wakuendelea kuwavuta  mastaa hao akiwa na lengo la kuwamaliza kabisa. Dodoso  imeweza kubaini wasichana kadhaa ambao wamepita kwenye ka mchezo huo kuwa ni JACKIE CLIFF(kabla ya ndoa) , REHEMA F

Aibu:Video Nzima ya Agness Masogange yatoka-Kumbe ilikuwa ni Threesome

Hatimaye mtandao Fulani Jina Kapuni umefanikiwa kuinasa vizuri video nzima ya uchafu wa  agness  masogange baada ya ile Nusu Kuzagaa Kwenye Internet Video hiyo chafu  kabisa ambayo awali zilisambaa  clip zake,  inamuonesha mwanaume  mmoja  akimiliki  wanawake wawili Wakati  Agness  akifanya majonjo ya kukata mauno  kwa  mwanaume huyo, yule  mwingine alikuwa  akipakia  msosi  ili  kujiweka  sawa kwa  tukio  hilo. Ndani ya Video  hiyo pia,Masogange anaonekana  akizungusha  makalio yake  karibu  kabisa na domo la mwanamke huyo hali inayoashiria vitendo vichafu vya usagaji. Ni  aibu  kubwa  kufanya  mapenzi  ya  two  in one...... VIDEO  WANAYO NA SASA WAKO WANAI UPLOAD SIZE:  200 MB FORMAT:  AVI,FLV, WEB PGN, MPEG  ... Tuvute subira