BAADA YA KAZI MZITO PALE BBA,KIJANA DIAMOND AKIWA ANARUDI NYUMBANI!
Hapa ni Diamond akiwa uwanja wa ndege nchini South Africa akiwa narejea Tanzania baada ya kufanya show yake ndani ya Jumba la BBA nchini humo wakati wa shughuli ya BBA eviction jana Jumapili.