Skip to main content

CHU CHU CHU YA BRIDER KHAN YAJA KUZIPOTEZA ZILIZO TANGULIA

Nimeamua kubadilika ili niende sawa na nyakati
mimi hua nafanya kile mashabiki wanaitaji nimeamua
kuja na mduara ili mashabiki wangu waendelee
kupata ladha tofauti kutoka kwangu unajua mimi
mkali na mashabiki wanalijua ilo so ata nikitoka na
mchiriku bado naamini watanipokea kwa mikono
miwili! chu chu chu nimeifanya katika studio ya
HURUMA REC, na predudher Endru music
nimemshirikisha ndugu yangu jonxon wa mama jojo
ngoma imesimama watu wangu wakae mkao wakula

Brider khan akiongea na safu hii leo mapema
alipotembelea OFISI za Thefresh2012
 ni msanii wa muziki wa
kizazi kipya kutoka hapa mkoani tanga

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com