Ruwa na Urembo wako
Bonge la ngoma nimelifanyia studio za
Huruma rec, chini ya producer
Endru music nimemshirikisha kaka yangu
Bwana misosi na ndugu yangu TOP C
ikotayari pia natarajia kuifanyia video kwa
Jefu kuna mitikasi flani namalizia ikikamilika
naifanyia kichupa
Mkongwe Ruwa akiongea na THE FRESH 2012
