Skip to main content

BWANA MISOSI NA TOP.C KUMTOA MKONGWE RUWA

Ruwa na Urembo wako Bonge la ngoma nimelifanyia studio za Huruma rec, chini ya producer Endru music nimemshirikisha kaka yangu Bwana misosi na ndugu yangu TOP C ikotayari pia natarajia kuifanyia video kwa Jefu kuna mitikasi flani namalizia ikikamilika naifanyia kichupa Mkongwe Ruwa akiongea na THE FRESH 2012