Kampuni ya facebook ambao ndio mtandao unaoongoza kuwa na wanachama duniani ikiwa chini ya mmiliki wake Mark Zuckerberg inatarajiwa kupandishwa mahakamni nchini Marekani na wawekezaji walionunua hisa za kampuni hiyo baada ya kufanya udanganyifu kwenye mauzo ya hisa zao. Wawekezaji hao ambao walinunua hisa hizo wanaituhumu kampuni hiyo kwa kuficha na kutoa takwimu za uongo juu y thamani halisi ya bei ya
hisa hizo, Kwani ikiwa chini ya uuzaji wa benki ya Morgan Stanley walificha kuporomoka kwa thamani ya hisa hizo kwa zaidi ya asilimia 18 kitendo ambacho kimepelekea wawekezaji hao kupata hasara, Kesi hiyo itasikilizwa nchini Marekani.
ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...