Skip to main content

FACEBOOK KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UDANGANYIFU!

Kampuni ya facebook ambao ndio mtandao unaoongoza kuwa na wanachama duniani ikiwa chini ya mmiliki wake Mark Zuckerberg inatarajiwa kupandishwa mahakamni nchini Marekani na wawekezaji walionunua hisa za kampuni hiyo baada ya kufanya udanganyifu kwenye mauzo ya hisa zao. Wawekezaji hao ambao walinunua hisa hizo wanaituhumu kampuni hiyo kwa kuficha na kutoa takwimu za uongo juu y thamani halisi ya bei ya hisa hizo, Kwani ikiwa chini ya uuzaji wa benki ya Morgan Stanley walificha kuporomoka kwa thamani ya hisa hizo kwa zaidi ya asilimia 18 kitendo ambacho kimepelekea wawekezaji hao kupata hasara, Kesi hiyo itasikilizwa nchini Marekani.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga