Skip to main content

FACEBOOK KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UDANGANYIFU!

Kampuni ya facebook ambao ndio mtandao unaoongoza kuwa na wanachama duniani ikiwa chini ya mmiliki wake Mark Zuckerberg inatarajiwa kupandishwa mahakamni nchini Marekani na wawekezaji walionunua hisa za kampuni hiyo baada ya kufanya udanganyifu kwenye mauzo ya hisa zao. Wawekezaji hao ambao walinunua hisa hizo wanaituhumu kampuni hiyo kwa kuficha na kutoa takwimu za uongo juu y thamani halisi ya bei ya hisa hizo, Kwani ikiwa chini ya uuzaji wa benki ya Morgan Stanley walificha kuporomoka kwa thamani ya hisa hizo kwa zaidi ya asilimia 18 kitendo ambacho kimepelekea wawekezaji hao kupata hasara, Kesi hiyo itasikilizwa nchini Marekani.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com