Skip to main content

THE FRESH 2012 BLOG ILIPOTEMBELEA STUDIO ZA 106.O MWAMBAO FM SAUTI YA TANGA KUPITIA KIPINDI KINACHO SAPOTI MUZIKI WA WASANII WAHAPA JIJINI TANGA TANGA FLAVER KINACHORUKA HEWANI KILASIKU ZA JUMA PILI 16.00 PM - 18.00 PM

Wanao onekana pichani ni dj mkali dj bizo na mtangazaji wakipindi cha TANGA FLAVER dj kiss 1 na saidi shabani wa the fresh blog wakilisongesha jahazi la muziki wa kitanga tanga nakupiga stor na watangazaji wa redio station hiyo ilioko nje kidogo ya jiji la TANGA KANGE TANGA FRESH Thefresh niaje jombaa? tanga flaver aina kwere jombaa karibu 106.0 saidi inimesha karibia kaka nini hasa nia yakuanzisha hiki kipindi cha tanga flaver? tanga fraver kusdio letu nikuwainua wasanii wadogo wanao chipukia hapa jijini tanga mwisho wasiku ndio hao wanao fanya vizuri ata baadhi ya radio station nyingine nchini na inje ya nchi nazani kaka unafaham tayari tanga inawakili shwa na wakali kibao ambao wameanza kufanya vizuri hapa hapa nyumbani saidi ebana kaka haina ubishi coz, ata mimi nimsikilizaji mzuritu wakipindi chenu so nafahamu nini mnachokifanya b't nina swali lakizushi kunako kazi yoyote hakukosekani vikwazo na changa moto je nichangamoto zipi na vikwazo vp mnavyo kutananavyo? tanga flafer kaka ninyingi ila kwavile tumejitolea kutoa burudani basi sisi tuna fanya hivyo Saidi nashukuru kwamapokezi mazuri nilio yapata kutoka kwenu nimefurahi je nakaribishwa tena kutembelea studio zenu? tanga flafer kaka unakaribishwa mda wowote coz, sisi na wewe kazi yetu ni moja yakuakikisha msanii wakitanga anafiki mbali zaidi so karibu tena kaka THE FRESH BLOG ILIPOTEMBELEA STUDIO ZA 106.0 MWAMBAO FM SAUTI YA TANGA

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga