Ni msanii wamuziki wa kizazi kipya
anae chipukia hapa mkoani TANGA
tayari amesha kamilisha ngoma yake
yakwanza inakwenda kwajina la
MAMA JOJO nibonge la ngoma mkono
wa producer ANDWU MUSIC pia jojo
ameshiri vema katika nyimbo inayosumbua
kwasasa inayokwenda kwajina la
CHU CHU CHU ya msanii mwenzake
BRIDER KHAN isitoshe jojo nimkali wakutunga
na kuimba kwani tayari amekwisha andika
nyimbo za wakali kibao ambazo kwasasa
zinafanya vizuri redio station za hapa mkoani
MAMA JOJO ya jonxon ikotaya kaeni mkao
wa kiburudani
