Skip to main content

INTER VIEW YA BRODUCER JB NA THE FRESH 2012

Niaje man jb, fresh ndugu yes naitwa saidi shabani toka thefresh blog jb, aah karibu kaka tupo tuna umiza vichwa saidi, pole sana kaka vp naona umezungukwa na washikaji kibao vp wanakudai kaka ? jb,amna hawa ni wasanii wangu tuko kwenye harakati zakurekodi saidi, he! kaka inamana hunautaratibu maalum wakufanya kazina na wasanii wako kaka? jb, amna upo ila leo nimewaita wengi ili tumalize shughuli kila mmoja achukue kaziyake siunajua watu wanataka laza kitaani saidi, nimekusoma kaka vp unaweza niambia nichangamoto gani unakutanazo kwenye hii kaziyako kaka? jb, ninyingi nikianza kuku chambulia jua litazama ila zaidi zaidi nipale mtu anapotaka kurekodi ile hali bado hajawa fiti kimazoezi au hata mashairi yenyewe hayaeleweki hapo ndio mtihani coz, ukimgomea anakujia juu au kama hatasema hapa kesho utasikia mitaani jamaa anaringa saidi, b't kaka kwani wewe unajali kazi au maneno ya mtu ? jb, dat is wat sup mimi najali kazi ndio maana leo umewakuta jamaa kibao hawa ndio wanajua jb anafanya nini saidi, ningoma ngapi ulizowai fanya wewe mwenyewe ukajiambia hii ni kali zaidi au ata kukutambulisha kunako game ? jb, kiba kakao zinafanya vizuri hapa jijini tusiongee sana kaka nazani wewe mwenyewe unajua jb anafanya nini saidi, fresh ndugu nimefurahi kuongea na wewe ndugu yangu jb, ahsante kaka karibu tena b't naomba usinisahau saidi, usiogope ndugu yangu the fresh ipo kwaajili ya wajanja kama nyinyi so usiogope ........................THE FRESH 2012 ILIPO studio za ELZY REC,

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga