Wasanii selemani mohamed na mwenzake nasoro voicer
wamekwisha kamilisha kurekodi wimbo wao unao kwenda
kwajina kamoyo kangu kadago wimbo uo ulio rekodiwa na
producer anae sumbua jiji kwasasa J B wa studio inyojulikana
kwa jina la ELZY REC, ilioko mitaa ya 4ez jiji TANGA
jamaa walipo ongea na the fresh walisema mzigo ukotayari
na muda wowote utakua mikononi mwao tayari kuutambulisha
kwa hewa wakiongezea walitamba ngoma imesimama kinoma
tuna tarajia mapokezi mazuri kwa mashabiki wamuziki huu hapa
nyumbani na nnje pia tunafanya mchakato wakuifanyia video na
production ya FLACONE PRODUCTION iliopo hapa hapa jiji so
watu wetu wakae mkao wakula