Majira ya saa saba mchana wakati jiji la Nairobi likiwa kwenye hali ya ututlivu ndipo ghafla amani hiyo ilipotoweka baada ya kusikika kwa kishindo kikubwa katikati ya mji huo na baadae kufuatiwa na moshi mkubwa angani. Ni tukio la kusikitisha sana baada ya kutokea kwa mlipuko kwenye jengo la Kibiashara la Moi Avenue kwenye barabara ya Moi na kuuwa watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya thelathini huku chanzo cha mlipuko huo kikiwa hakijulikani,,,,tutaendela kuwaletea habari,,,

