Skip to main content

MLIPUKO WA MABOMU WAUA NA KUJERUHI RAIA KADHAA SAA SABA MCHANA HUU

Majira ya saa saba mchana wakati jiji la Nairobi likiwa kwenye hali ya ututlivu ndipo ghafla amani hiyo ilipotoweka baada ya kusikika kwa kishindo kikubwa katikati ya mji huo na baadae kufuatiwa na moshi mkubwa angani. Ni tukio la kusikitisha sana baada ya kutokea kwa mlipuko kwenye jengo la Kibiashara la Moi Avenue kwenye barabara ya Moi na kuuwa watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya thelathini huku chanzo cha mlipuko huo kikiwa hakijulikani,,,,tutaendela kuwaletea habari,,,

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com