Skip to main content

MLIPUKO WA MABOMU WAUA NA KUJERUHI RAIA KADHAA SAA SABA MCHANA HUU

Majira ya saa saba mchana wakati jiji la Nairobi likiwa kwenye hali ya ututlivu ndipo ghafla amani hiyo ilipotoweka baada ya kusikika kwa kishindo kikubwa katikati ya mji huo na baadae kufuatiwa na moshi mkubwa angani. Ni tukio la kusikitisha sana baada ya kutokea kwa mlipuko kwenye jengo la Kibiashara la Moi Avenue kwenye barabara ya Moi na kuuwa watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya thelathini huku chanzo cha mlipuko huo kikiwa hakijulikani,,,,tutaendela kuwaletea habari,,,

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga