Skip to main content

Will Smith na Jay-Z wamuunga mkono Obama kuhusu ndoa za jinsia moja

Jay-Z na Will Smith wameunga mkono mawazo ya Barack Obama kuhusu kusupport ndoa za jinsia moja nchini Marekani.

Will alisifia tamko la Obama kuwa ni la kijasiri katika mwaka wa uchaguzi nchini Marekani.

"Kama mtu yoyote akipata mtu wa kuwapenda na kuwasaidia katika kitu hiki kigumu kiitwacho maisha, ntamuunga mkono kwa namna yoyote"alisema Will alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mjini Berlin.Kwa upande wake Jay-Z anaamini kuwa wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kuwa na haki ya kuoana.

"Nadhani ni jambo la haki kufanya.... hata kama itamnyima kura ama la. Nimekuwa nikifiria hiki ni kitu kilichokuwa bado kinairudisha nyuma nchini" alisema Jigga.
"Kile watu hufanya majumbani mwao ni suala lao wenyewe na unaweza kuchagua kumpenda yoyote unayempanda" Haina tofauti na ubaguzi wa watu weusi. Ni ubaguzi wa wazi".
Tamko hilo la Barack Obama limepokelewa kwa hisia tofauti Marekani na kwingineko duniani huku wengine wakimpinga vikali.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com