Rapper Young Dar es salaam amekiri kwamba alipata ajali usiku wa jumapili wakati akitoka kufanya show ya club ya Simba kusherehekea ubingwa wake wa ligi kuu Dar Live Mbagala Dar es salaam.
D amesema hiyo ndio sababu kubwa iliyomfanya hata ashindwe kuperform kwenye show ya Rachel wa THT Maisha Club.
Chanzo cha ajali ni dereva Taxi akiwa kwenye spidi kubwa kujaribu kumkwepa mvuka barabara hivyo ikabidi afanye maamuzi ya ghafla na kugonga nguzo na kuingia mtaroni kitendo ambacho kilimfanya Young D apoteze fahamu hapohapo kwenye eneo la ajali, alipelekwa hospitali kuanzia hiyo saa tano usiku na kuruhusiwa kutoka saa nane usiku huo huo.
Hata hivyo mbali na hiyo ajali, D amekubali kwamba amelipwa zaidi ya shilingi milioni moja kwa kuwa msanii pekee wa bongofleva kualikwa kwenye show hiyo ya Simba ambayo mashabiki wake waliutumia wimbo wake wa dada anaolewa na kuuita Yanga anaolewa baada ya kuishinda Yanga kwenye fainali, hiyo ndio sababu kubwa iliyofanya D aalikwe kuperform.
ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...