Afisa habari wa Coastal Union, Edo kumwembe (kushoto) akimkabidhi jezi
mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Atupele Green 'Next samatta' mara baada
ya kusaini mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo. Atupele ndiye
mshambuliaji namba moja wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 21.