Skip to main content

MAAJABU: WANAIJERIA HUUZA FIGO KWA SH MILION 51($30,000)

Baadhi ya wanaijeria waishio nje ya nchi wamejikuta wakiwa na maisha magumu kiasi cha kuamua kuuza figo zao ili waweze kuishi.
Biashara hiyo iliyoshamiri kwenye mtandao imewafanya baadhi yao kutafuta soko la viungo hivyo muhimu kwenye mwili wa binadamu na wengine wakisafiri hadi Malaysia na India kuuza figo zao zote mbili kwa $30,000.
Kwa mujibu wa mtandao wa nigeriafilms.com, watafiti wake wamebaini kuwa kuna mtandao mkubwa sana wa wafanyabiashara, mawakala, wauzaji wa watafutaji wa bidhaa hiyo ambao hutafuta watu watakaouza figo zao.Wengine hufikia hatua za kuteka watu na kuwanyofoa figo zao ili kujipatia maisha mazuri na ya haraka.Kuna taarifa kuwa watu wengine hupoteza maisha wakati wa oparesheni ya kunyofoa figo hizo.Mpaka sasa karibu wanaijeria 1000 wana matumaini ya kupata connection hizo ili nao waweze kuuza figo zao na kujipatia maisha wanayoyataka.Mtandao huo umemaliza kwa kusema, “Hivi ndivyo umaskini unaosababishwa na uongozi mbovu umeifikisha Nigeria.”

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com