Skip to main content

MTU ALIYEMWIBIA GARI KHADIJA KOPA AKAMATWA,!!

May  ya mwaka huu kulisikika habari za kuibiwa kwa gari la mwimbaji wa Taarabu Malkia Khadija Kopa ambalo lilikuwa aina ya Noah lililokuwa limelazwa sehemu ya kupaki magari kwa kulipia. Gari hilo lililoibiwa maeneo ya Mwananyamala pamoja na magari mengine liliweza kukamatwa mjini Moshi likiwa limepakiwa nyumbani kwa mtu huku likiwa limeng'olewa rim zote huku likiwa limewekwa rehani na mtu ambaye alilinunua gari hilo, taarifa zaidi zinadai kuwa jambazi aliekamatwa na kuhusika na wizi huo anafahamika kwa jina la Ringo na anashikiliwa na polisi pia akiwa amekamatwa na magari mengine matatu.

Popular posts from this blog

NEW JOINT | dayna special nipe nafasi {Audio}

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa