Skip to main content

EBSS YATISHA TANGA NA 1 AUGUST DAR ES SALAAM


 
Siku ya pili ya usaili wa Zantel Epiq Bong Star Search uliofanyika katika ukumbi wa La Casa Chika jijini Tanga. Majaji wameonekama kufurahishwa na vipaji na kuamua kuchukua watu sita badala ya watano ambao wataenda Dar es salaam kuiwakilisha Tanga. Zaidi ya washiriki 800 walijitokeza katika usaili wa mjini Tanga. Usaili utaendelea tena tarehe 1 mwezi Agosti katika eneo la Coco Beach Dar es salaam.
WASHIRIKI WAKIWA TAYARI KWA VITA NA SILAHA ZAO MIKONONI
 
 WASHIRIKI WAKIWA KWA FOLENI YA KUELEKEA KWA MAJAJI AMBAPO WALIKUA NA KAZINGUMU KWELI KUTOKANA NA VIPAJI
 
MAJAJI WAKIWA SERIOUS NA KAZI KATIKA KUTAFUTA WAWAKILISHI WA TANGA
MSIKILIZE MADAM RITA

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com