Skip to main content

HIVI NDIVYO VICHWA VITAKAVYO WAKILISHA THEFRESH ENTERTAINMENT, BSS, TANGA 2012



Picha nivijana wawali IBRAHIM SIDI TWALONDAGA
pamoja na NASSORO OMARI KIBUGO a.k.a VOICER  Tayari wamekwisha
chukua fomu zaushiriki tayari kwa mchakato mzima
vijana wakopoa na wanafanya mazoezi usiku na mchana
ili kujiweka fiti kwaajili ya sikuio wakizungumza na blog
hii jana jioni vijana walisema wako fresh na wanajiamini
vyakutosha sababu wao niwakali na wanauwakika wakui
wakilisha vema thefresh entertainment, na TANGA kwau
jumla mwaka huu wa 2012 ikibidi ata star wamwaka huu
atokee hapa jijini tanga waliongeza kua tunawaonya hao 
wamikoani wajipange kwani wenyewe siwanafahamu kua
 tanga kunavipaji vyakweli basi wakae tayari wasanii hao
wakijigamba walipokua wanapiga stori na The-fresh blog
walipotembelewa mazoezini kwao jana jioni walipoulizwa
swali lakizushi kuhusu ushindndni mkubwa watakaokutananao sikuiyo ya usaili je wamejipangaje
 kwapamoja walijibu hatukatai kweli hapa jijini tanga kunawakali kibao ila tutakacho kifanya sikuiyo ata majaji wenyewe watakubali kua sisi ndio wawakilishi wakweli kwenda dar, kuiwakilisha TANGA

Tunawatakia kila lakheri wasanii hawa na wengineo watakao
jitokeza kuiwakilisha tanga kwenye usaili huo utakaofanyika
 siku ya juma mosi katika ukumbi wa LACASA CHIKA

 kila lakheri washiriki wote mtakaojitokeza ili mwende kuuwakilisha vema mkoawetu wa tanga kwani tunaamini
hapa jijini vipaji vipo na tunaweza tujiamini Blog hii inakuaidi
 Sapoti yakutosha jitokeze nasi tutakupa sapoti yakutosha,

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com