Skip to main content

Kashfa yawakumba wanandoa wa jinsia moja Zimbabwe


WANANDOA wa jinsia moja kutoka nchini Zimbabwe ambao walioana kwa ndoa iliyofanyika nchini Uingereza mwaka jana wameingia katika kashfa nzito baada ya video iliyosambaa nchini humo ikimwonyesha mmoja wao akimsaliti mwenzake.

Video hiyo ambayo iliwekwa katika tovuti ya mtandao wa kijamii wa You Tube ilichukuliwa katika nyumba wanayoishi wawili hao
,Nicky Chigoba Chalenga na mpenzi shoga mwenzake Chido Chalenga.

Katika video hiyo Chido anaonekana kuwa na Brenda Muchi Soko ambaye ni dada wa DJ maarufu na mtangazaji nchini Zimbabwe Petro C Soko ambaye ni rafiki wa ndoa yao. Lakini kwa wakati huu rafiki huyu ameonekana katika kitanda cha mashoga hao na Chido ambaye ni mwanandoa wa Nicky.

"Brenda unafanya nini katika nyumba yangu, na Chido katika kitanda changu? nini kinaendelea hapa?" Nicky aliwauliza wawili hao.

Chido aliduwaa, huku Brenda ambaye anaishi na mume wake karibu na nyumba hiyo akiwa hana la kufanya, Nicky alimaliza kutengeneza video hiyo na baadaye alienda kuiweka wazi katika mtandao huo wa kijamii.

Kitendo hicho cha kufadhaisha kimemweka Dj Soko katika wakati mgumu huku dada yake Brenda akijitahidi kujisafisha katika mtandao wa kijamii wa Facebook kupitia kundi la 'Dandaro NemaGirls' ambapo amewaomba msamaha wanakundi wenzake na kuwaomba wamvumilie katika kipindi hiki.

Bado haijajulikana wazi hatma ya mashoga hao, lakini Nicky mume wa Chido ameendelea kuongea maneno mbalimbali kupitia mtandao wa kijamii yakiashiria kutoa msamaha kwa shoga mwenzake huyo.

Nicky na Chido ni miongoni mwa wasagaji wa kwanza wa Zimbabwe kuamua kufunga ndoa na kujitangaza hadharani na kutambulika katika umma. Wawili hawa wana mtoto wao wa pamoja waliomuasili,

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com

Video: Blackchild – Put Inside

David Abdulichel, also known as BlackChild is a Ghanaian from Asanti origin, born and raised in Lagos Nigeria. BlackChild, who is a recording artist, song writer and performer started his music career back in 2000 and since then has released four singles. He has also worked with top producers in Nigeria such as Fliptyce, Spanky, Meca E & BrainMix to mention but few. BlackChild Abdul rose to prominence with his hit songs “Treasure”, “Ele” featuring Rock Steady, “Could It Be Love” featuring Cartiar, “All I Need” featuring Solid Star. This time around he comes out with “Put Inside” which sees him delivering lines in french and his native language and is steadily generating buzz and enjoying airplay on radio stations within and outside Lagos. Listen up!