BONDIA MANENO OSWARD AMTWANGA RASHIDI MATUMLA KWA POINT
MANENO
OSWARD AKIJARIBU KUTUPIANA NGUMI ZA MABISHANO NA RASHIDI MATUMLA YANI
NIPE NIKUPE MPAKA MWISHO WA MCHEZO MANENO ALIBUKA MSHINDI KWA POINT
Bondia
Rashidi Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na
Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika ukumbi wa
Dar live Maneno alishinda kwa point
Bondia
Rashidi Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na
Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika ukumbi wa
Dar live Maneno alishinda kwa point.