Skip to main content

BURUNDI KUSHIRIKI MAISHA PLUS 2012.


Masoud Kipanya

 

Habari kutoka Bujumbura zinasema nchi hiyo inatarajiwa kutuma wawakilishi wake wawili kuingia katika shindano la Maisha Plus 2012.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mtangazaji wa Radio Puplique Africaine, Aisha Amuri Ndimubandi ambaye ndiye mratibu wa zoezi hilo alisema "Maandalizi yote yako ta
yari, tunachosubiri ni fomu tu kutoka Tanzania ili tuanze zoezi la usaili".
Akifafanua zaidi alisema anaamini hiyo itakuwa ni moja kati ya nafasi adimu sana kwa nchi yao ambayo ina makabila makubwa mawili yaliyowahi kuwa hasimu kujifunza namna ambavyo watanzania wameweza kuishi kama ndugu licha ya uwepo wa makabila zaidi ya 120.
Burundi inakuwa nchi ya kwanza kufungua mwelekeo wa Maisha Plus kuingia katika ukanda wa Afrika ya mashariki ambapo mwakani, nchi karibu zote nne zinatarajiwa kuleta washiriki wake na kulifanya kuwa ni shindano la kwanza kutoka Tanzania lenye hadhi ya kimataifa.
Mshindi wa Maisha Plus 2012 anatarajiwa kuondoka na kitita cha shilingi 20,000,000 wakati mshindi wa MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2012 anatarajiwa kuondoka na zana kali za kilimo na mkwanja wa kutosha.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com