Skip to main content

VANESSA MDEE ALIPAKA MATOPE JARIDA LA BAABKUBWA


Mtangazaji wa MTV Base na Choice FM 102.6 ya Tanzania, Vanessa Mdee, jana aligeuka mbogo baada ya kile kinachoonekana kama kukerwa na jarida la burudani la Baabkubwa.

Vanessa analishutumu jarida hilo kwa kuandika habari za uongo, kuchafua majina ya watu, Kiingereza kibovu miongoni mwa mambo mengine.
Alitweet:
Can’t stand BabKubwa – lies,defamation,horrible grammar, tacky production and print, chipped nail polish and busted weaves …
— Vanessa Mdee (@VanessaMdee) August 28, 2012
Vannesa ambaye pia ni mwanaharakati wa masuala ya HIV/AIDS, alimalizia kwa kuweka nukuu isemayo,
A country is only as informed as its media. Surely this can’t be life. #ImDone
— Vanessa Mdee (@VanessaMdee) August 28, 2012
Hatujaweza kufahamu ni habari gani mbaya waliyoiandika watu wa Baabkubwa kuhusu mrembo huyo

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com