Skip to main content

JE FIESTA YA DAR ITAMLETA NANI KATI YA RICK ROSS, DRAKE, T.I NA SNOOP DOGGY?.......UNGANA NASI



Rick Ross
Drake
T.I
Snoop
Rick Ross, Drake, T.I na Snoop ndio majina yaliyotajwa leo hii kama fumbo la msanii mkubwa wa kimataifa atakaekuja Tanzania kwa ajili ya Fiesta 2012 ya Dar es salaam inayotegemewa kuchukua nafasi yake siku chache zijazo.

Hayo yamesikika kupitia campaign inayoendelea muda huu kuanzia asubuhi ya leo kupitia Clouds fm, inayohamasisha watu washiriki kubashiri ni msanii gani kati ya hawa atakae kuja kuperform katika Fiesta ya Dar.

Jibu la swali hili litatolewa kupitia XXL ya leo Sept 27, 2012 mishale ya saa tisa za alasiri. Fuatilia Clouds fm ili kama umeshiriki uweze kujua kama utakua umetoa jibu sahihi basi utakua kati ya washindi watakaojishindia tiketi ya kwenda kushuhudia show hiyo.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com