Skip to main content

WANAWAKE WA BONGO MOVIE WANAPENDA KUMEGWA NA WANAUME WANAOUZA MADAWA YA KULEVYA WAKIDHANI WATATAJIRIKA ” – SHILOLE…!!

WAKATI wasanii wengi wakishindana kwa kubadilisha magari ya kifahari hapa mjini, msanii wa filamu na muziki Shilole, amefunguka na kudai kuwa kuna kasoro kubwa hasa ya kiumaskini kwani wanawake wengi wa bongo movie wanapenda kumegwa na wanaume wanaofanya biashara haramu ya madawa ya kulevya kwa kudhani kuwa watapewa dili la kulala maskini na kuamka tajiri.

Wapo wasanii wengi ambao wanajisifu kwa kuwa na magari ya kifahari lakini ukitazama kwa hali ya kawaida gari analiotembelea na thamani ya hela anayolipwa katika kila filamu wala haviendani.


Shilole
alidai kuwa kasoro hiyo inasababishwa na tamaa za baadhi ya wasanii kwani wanaamini wakitembea na wanaume wanaofanya biashara hizo nao wanaweza kufanikiwa mapema huku wakisahau kuwa riziki hutoa Mungu na si binadamu yeyote yule.

Msanii huyo alidai kuwa wapo baadhi ya wasanii ambao wamefanikiwa si kwa kuwatengemea wanaume, lakini asilimia kubwa wanakaa na kujipendezesha wakisubiri mwanaume ndiye wawafanyie kila kitu eti kwa sababu ya umaarufu wao.


“Hata siku moja uji kusikia eti Shilole anaishi mjini kwa sababu mtu ya fulani .Mi ni jembe nimekuja mjini kutafuta na si kutafutiwa kama wasanii wengine wanasubiri kupata mwanaume anayefanya biashara harumu ili nao wamepewe dili la kulala maskini na kuamka na tajiri,”
alidai.

Hata hivyo aliongeza kuwa wanawake wengi wanatumia miili yao kama sehemu moja wapo ya kujiigizia kipato huku wakisahau kuwa kuna magonjwa hatari kama Ukimwi na mengine mengi.

UMEZISOMA HIZI?

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

Coastal ipo tayari kuanza ligi kuu, yashinda 3-0 ikiwa kambini Moshi.

Wachezaji wa Coastal Union wakifanya mazoezi mepesi muda mfupi kabla ya kukabiliana na Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi, anayeonekana pichani mwenye jezi namba 17 ni haruna Moshi 'Boban'. Mtokeo ya mechi hiyo ni ushindi wa 3-0 kwa Wagosi. Mazoezi yamekolea, uwanja wa Ushirika Moshi. Uhuru Suleiman amesifiwa na kocha kuwa ni kiungo mwenye kasi nyingi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. Mshambuliaji anayetumia mguu wa kushoto kutoka Uganda, Yayo Lutimba Kato amefunga bao lake la kwanza tangu kujiunga na Coastal Union ambayo imeweka kambi mjini Moshi tangu jana. Kato ambaye ametoka URA inayoshiriki ligi kuu nchini Uganda, alipatia timu yake bao la kuongoza dhidi ya Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini humo, bao hilo alilifunga kwa ufundi mkubwa katika kipindi cha pili baada ya kupokea pasi murua na kupiga shuti kali akiwa nje ya 18. Akitoa taarifa kutoka Moshi, mwenyekiti wa Wagosi Hemed Hilal ‘Aurora’ amesema “Katika dakika za lal...

Tuhuma nzito : Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi kufikishwa kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge

Dk John Magufuli   Dar es Salaam.   Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imesema itawafikisha kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiwatuhumu kwa kulidanganya Bunge. Hatua hiyo ilitangazwa jana na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe baada ya kumhoji Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Herbert Mrango kuhusu hati ya mashaka waliyoipata kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), mwaka wa fedha 2011/2012. Kamati hiyo ilieleza kuwa kwenye Bajeti ya mwaka huo kiasi cha Sh348,075,000,000 fedha za ndani zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililotajwa kuwa ni la mradi maalumu (Special Road Construction Project) hazikutumiwa kwa malengo yaliyoelezwa bungeni. “Ni vizuri leo uiambie kamati fedha hizi ziliombwa kwa kitu gani na zilitumika kwa jambo gani. T...