Skip to main content

Hii Ndio Orodha ya Mastaa wa Kike Wanao Jiuza Nchini China

Mafra

Rehema Fabian

Odol mwanafunzi CBE

OMARY MFANYABIASHARA ANAEWANUNUA MASTAA WA KIKE NA MABINTI WA KIBONGO

Jackline Cliff

Catherine


Tumezoea kusikia sijui flani kaenda china sijui nani yuko china bila kujua kaenda kufanya nini cha msingi.
Dodoso  imefuatilia na kubaini kinachowapeleka baadhi ya hao mastaa wachafu na wasichana wabovu huko china.
Dodoso  imebaini kuwa baadhi ya mastaa wachafu huenda kujiuza kwa mfanyabiashara mmoja wa kitanzania anaejulikana kwa jina la omary ambae huwatumia TICKET na kuwalipia viza kisha wadada hao kwenda kumburudisha mfanyabiashara huyo kwa kitanda na baada ya hapo kulipwa dola 500 kama mshahara wa kazi yao.
Mfanyabiashara huyo ameandika list yakutosha ya wasanii wa kike aliolala nao na bado anaendelea na mchakato huo wakuendelea kuwavuta  mastaa hao akiwa na lengo la kuwamaliza kabisa.
Dodoso  imeweza kubaini wasichana kadhaa ambao wamepita kwenye ka mchezo huo kuwa ni JACKIE CLIFF(kabla ya ndoa) , REHEMA FABIAN, pia wasichana wengine  ni MAFRA , ADOL JEWEL mwanafunzi wa CBE na CATHERINE .

Dodoso  inaendelea kufuatialia kwa umakini juu ya wengine na pindi itakapo wabaini itadondosha hapa live

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga