Mwenyekiti wa Tume ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu, Augustine Ramadhani. Picha na Michael Jamson