Skip to main content

Wachimba migodi bado wagoma

Wachimba migodi wa Amplats wakigoma mwezi OktobaMaelfu ya wachimba migodi wa Afrika Kusini wamekataa kurejea kazini, katika kampuni ya dhahabu nyeupe kubwa kabisa duniani iitwayo Anglo American, Amplats
Wachimba migodi wanasema hawakubali pendekezo la kampuni hiyo kuhusu malipo.
Mwezi Oktoba Amplats iliwafukuza makazini wachimba migodi 12,000 kwa sababu walishiriki kwenye mgomo katika migodi ya Rustenberg.
Tangu wakati huo uchimbaji wa dhahabu nyeupe umeathirika sana.
Amplats ni kampuni kubwa ya mwisho ya Afrika Kusini ambayo bado inaathirika na migomo - migomo iliyokuwa na ghasia ambapo watu zaidi ya 50 wamekufa.
Wachimba migodi 34 walipigwa risasi na polisi katika mgodi wa kampuni ya Lonmin mwezi wa Agosti.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com