Skip to main content

YANAYOJIRI KWENYE MSIBA WA SHARO MILLIONEA:

Photo: HOT MIX (07:00pm): Karibu katika show, siku ya majonzi leo, Hapa utaona ripoti maalumu ya kifo cha <3 Sharo Millionaire <3 , Utaona event ya mwisho ya Marehemu kuperform, Na taratibu zinazoendelea hadi sasa.

Skia ya kutoka kwa Mzee Majuto hapa hapa pia, Tuna mambo mengine pia ambayo yanakamilisha matukio yanayounda siku nzima ya leo.

Tafadhali Tazama Show Bila Kukosa.

Weka maoni mtazamo hisia na chochote ulichonacho kwa mfumo wa COMMENTS hapaHali ya mzee King Majuto presha imepanda na hali kuzidi kuwa mbaya kutokana na kupata taarifa za msiba wa Sharo Milionea.

Mjomba wa marehemu Sharo Millionea, Bwana Omary Fundikira asema marehem

u anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho, Jumatano. Hii ni kutokana na msanii mwenzake John Maganga kuzikwa leo.

Mkuu wa polisi mkoa wa Tanga RPC Costantine Massawe asema Hussein Ramadhani (Sharo Milionea) alikuwa mwenyewe katika gari na ilipotokea ajali gari lilimrusha nje na kufariki hapohapo.

Pia rafiki wa marehemu bwana Mohamed Ismail ambaye ndiye aliyemuazimisha gari alilopata nalo ajali, asema ilitakiwa waongozane kwenda Tanga pamoja ila alishindwa maana alipata majukumu mengine.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga