Skip to main content

NI MR BLUU A . K . A KABAYSA LEO KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA JIJI LA MWANZA

Usiku wa leo yong bab lon  r Bluu atakinukisha ndani ya jiji la Mwanza katika usiku wa mwaka mpya
aliyasema hayo katika radio kiss fm akifanya mahojiano leo mchana mr bluu amesemakuwa leo atawafuraisha mashabiki wake kwa kupitia nyimbo zake za kipindi na za sasa .Pia amewaambia mashabik wakae mkao wa kula kwa kusubiri tunzo  bomba za mwaka 2013.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga