Skip to main content

ROMA MKATOLIKI AIACHIA NGOMA YAKE - 2030 MTANDAONI HII HAPA

Roma_-_2030_(Version_2).mp3










  Habari mabibi na mabwana!! poleni na mihangaiko ya siku!! naam ijumaa iliyopita nilitoa kibao changu maridhawa kipya kabisa kinaitwa 2030!!! na nilikiachia kwa radio stations zote nchini kadri ya uwezo wangu/wetu, though kutokana na mawasiliano ni ngumu kufikia radio zote kwa wakati, ila nyingi ziliupata!!! lakini niliweka utaratibu fulani kwa watakaohitaji kuupata huo wimbo 2030 mbali na radio basi wataupata kwa kussuport kuununua on line kwa tsh 3000/=!!nilishatangaza sana mnafahamu!!ilikuwa ni trial ya kuona nani ana love ya kussuport na nani hana kupitia njia zilizowekwa na sio njia nyingine. zoezi limeenda kwa challenge nyingi sana asante wote waliossuport katika hili, pia asante kwa wale walioliharibu zoezi hili maana imenifanya nimtambue hu z real na hu z fake!!! imeniuma kuona wapo wasanii wanafanya biashara kama hii wanauza mix tapes, album,tisherts zikiwa zote ni movements za kuleta changes ktk mziki wetu, then hao hao wanakuwa mstari wa mbele kupinga hii movement yangu halafu bila sababu yani dah SHALL WE MAKE IT????? nway lilikuwa ni zoezi lililopangwa kufanyika kwa week moja 1 tu ili kuona na kufanya tathmini kuwa yanawezekana haya?najua wengi wanasubiri feed back ya mauzo haya haikuwa nzuri sana kwa wingi wa nyomi nililokuwa nalo, lakini pia haikuwa mbaya maana ni mageni haya..kwa siku 7 za mauzo ilikuwa kila siku wananunua watu wasiopungua 50!! so unaweza ona hapo kuwa yanawezekana haya tukiyawekea mkazo...ILA SIAMINI KAMA KILA MSANII ANAWEZA FANYA, INATEGEMEA NA NGUVU YA MSANII HUSIKA NA KIBAO ALICHOKITOA..(IFIKIE KIPINDI TUONGEE UKWELI TUU!!)wengi wameanza kufanya biashara kupitia nyimbo hii na inawanufaisha wao, wengi wamerecord radio wimbo huu kitu kilichopelekea kukosa quality na bado wanauzia wengine so wanapewa kitu kisicho na quality, pia wengi wanakwazika na mengi yaliyoongelewa ndani ya wimbo huu na wanakosa majibu maana wanakosa fursa ya kuusikia mara kwa mara kwasababu hawajaunga mkono hii movement!! au pengine imekuwa ni njia ngumu kwao kuupata, basi kwa wale waliossuport kwa kuinunua nawashukuru sana na mungu awaongezee mlipopungukiwa, najua litatokea hili la kujiona wanyonge kuwa ROMA amechukua fedha zetu na kisha ameachia bure, mi naamini ukiwa muelewa na ukiona nilichokisema hapo juu hautakwazika as long umeonyesha lav yako kwa msanii unayemfeel, samahani sana kama nitakuwa nimekukosea,nimefanya hivi kama kuanzisha hiki kitu na naamini wengine watafatia na kukiboresha zaidi!!LAZIMA APOTEE MMOJA ILI KUMI WAISHI VEMA NDIPO YATAPATIKANA MAENDELEO!! AM SO SORRY!!! So leo wiki imetimia na wimbo umetoka rasmi na hauuzwi tena kama ilivyotangazwa awali. unapatikana bure kwenye net, download via access yoyote utakayoiona!! nimeutoa rasmi kwenye blogs mbali mbali ANZIA NA YA DJ CHOKA, na nyinginezo!! Na version iliyopita kuchezwa radio ni version ya ROMA ile beat yake iliyochangamka ambayo ni version ya 1 ambayo ndiyo ilikuwa ya kwanza kutambulishwa ijumaa pale clouds fm radio. kwa maswali zaidi tutameet kwenye mainterviewz huko maradioni na tutawekana sawa!! samahanini kwa wote niliowakwaza, asanteni kwa wote mliossuport!! ROMA 2030 INAPATIKANA FREE SASA!!!

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

Coastal ipo tayari kuanza ligi kuu, yashinda 3-0 ikiwa kambini Moshi.

Wachezaji wa Coastal Union wakifanya mazoezi mepesi muda mfupi kabla ya kukabiliana na Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi, anayeonekana pichani mwenye jezi namba 17 ni haruna Moshi 'Boban'. Mtokeo ya mechi hiyo ni ushindi wa 3-0 kwa Wagosi. Mazoezi yamekolea, uwanja wa Ushirika Moshi. Uhuru Suleiman amesifiwa na kocha kuwa ni kiungo mwenye kasi nyingi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. Mshambuliaji anayetumia mguu wa kushoto kutoka Uganda, Yayo Lutimba Kato amefunga bao lake la kwanza tangu kujiunga na Coastal Union ambayo imeweka kambi mjini Moshi tangu jana. Kato ambaye ametoka URA inayoshiriki ligi kuu nchini Uganda, alipatia timu yake bao la kuongoza dhidi ya Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini humo, bao hilo alilifunga kwa ufundi mkubwa katika kipindi cha pili baada ya kupokea pasi murua na kupiga shuti kali akiwa nje ya 18. Akitoa taarifa kutoka Moshi, mwenyekiti wa Wagosi Hemed Hilal ‘Aurora’ amesema “Katika dakika za lal...

Tuhuma nzito : Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi kufikishwa kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge

Dk John Magufuli   Dar es Salaam.   Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imesema itawafikisha kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiwatuhumu kwa kulidanganya Bunge. Hatua hiyo ilitangazwa jana na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe baada ya kumhoji Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Herbert Mrango kuhusu hati ya mashaka waliyoipata kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), mwaka wa fedha 2011/2012. Kamati hiyo ilieleza kuwa kwenye Bajeti ya mwaka huo kiasi cha Sh348,075,000,000 fedha za ndani zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililotajwa kuwa ni la mradi maalumu (Special Road Construction Project) hazikutumiwa kwa malengo yaliyoelezwa bungeni. “Ni vizuri leo uiambie kamati fedha hizi ziliombwa kwa kitu gani na zilitumika kwa jambo gani. T...