Skip to main content

IMETOKA KWENYE BLOG YA CLUB COASTA UNION!!!!!!!

<!--[if !supportLists]-->1.    <!--[endif]-->26/01/2013 Mwakwani (Tanga) Coastal Union Vs Mgambo JKT.
<!--[if !supportLists]-->2.    <!--[endif]-->03/02/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs Tanzania Prison.
<!--[if !supportLists]-->3.    <!--[endif]-->09/02/2013 CCM Kirumba (Mwanza) Toto Africa Vs Coastal Union.
<!--[if !supportLists]-->4.    <!--[endif]-->13/02/2013 Kaitaba (Bukoba) Kagera Sugar Vs Coastal Union.
<!--[if !supportLists]-->5.    <!--[endif]-->20/02/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs JKT Oljoro.
<!--[if !supportLists]-->6.    <!--[endif]-->27/02/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs Ruvu Shooting.
<!--[if !supportLists]-->7.    <!--[endif]-->10/03/2013 Uwanja wa Taifa (Dar es Salaam) Simba Vs Coastal Union.
<!--[if !supportLists]-->8.    <!--[endif]-->16/03/2013 Manungu (Morogoro) Mtibwa Sugar Vs Coastal Union.
<!--[if !supportLists]-->9.    <!--[endif]-->30/03/2013 Azam Complex (Dar es Salaam) African Lyon Vs Coastal Union.
<!--[if !supportLists]-->10.     <!--[endif]-->10/04/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs JKT Ruvu.
<!--[if !supportLists]-->11.     <!--[endif]-->27/04/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs Azam FC.
<!--[if !supportLists]-->12.     <!--[endif]-->01/05/2013 Mkwakwani (Tanga) Coastal Union Vs Young African.
<!--[if !supportLists]-->13.     <!--[endif]-->18/05/2013 Jamhuri (Morogoro) Polisi morogoro Vs Coastal Union.

NB: Endapo timu za Simba na Azam hazitafanikiwa kuvuka hatua mojawapo ya mashindano ya Champions League  & Confederation Cup Orange 2013 ratiba itafanyiwa marekebisho na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF.

Nilizungumza na mwenyekiti wa Coastal Union Hemed hilal 'Aurora' akaweka wazi kuwa katika mechi 12 zilizobaki kikosi chake kitacheza mechi 6 nyumbani.

Na watahakikisha historia ya mzunguko w mwanzo haiharibiwi tena kwa kutofungwa mechi hata moja katika uwanja wa nyumbani. maana yake kama maneno ya Aurora yatakuwa ya kweli basi Coastal Union inajihakikishia kumaliza ligi katika nafasi za juu.

Itakumbukwa mzunguko wa kwanza Coastal Union walicheza mechi 13, lakini katika mechi saba walizocheza nyumbani ni mechi moja tu ndiyo waliyoipoteza ambapo ilikuwa ni mechi ya mwisho dhidi ya Dar Young Africans. 

ambapo Coastal union laiti wangemaliza mechi hiyo kwa ushindi wangekuwa na point 25 na kuweza kuwa katika nafasi tatu za juu. Lakini walimaliza kwa point 22 na kufanikiwa kushika nafasi ya tano chini ya Mtibwa Sugar oliyokuwa nafasi ya nne. 

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

Coastal ipo tayari kuanza ligi kuu, yashinda 3-0 ikiwa kambini Moshi.

Wachezaji wa Coastal Union wakifanya mazoezi mepesi muda mfupi kabla ya kukabiliana na Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi, anayeonekana pichani mwenye jezi namba 17 ni haruna Moshi 'Boban'. Mtokeo ya mechi hiyo ni ushindi wa 3-0 kwa Wagosi. Mazoezi yamekolea, uwanja wa Ushirika Moshi. Uhuru Suleiman amesifiwa na kocha kuwa ni kiungo mwenye kasi nyingi na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. Mshambuliaji anayetumia mguu wa kushoto kutoka Uganda, Yayo Lutimba Kato amefunga bao lake la kwanza tangu kujiunga na Coastal Union ambayo imeweka kambi mjini Moshi tangu jana. Kato ambaye ametoka URA inayoshiriki ligi kuu nchini Uganda, alipatia timu yake bao la kuongoza dhidi ya Machava FC kwenye uwanja wa Ushirika mjini humo, bao hilo alilifunga kwa ufundi mkubwa katika kipindi cha pili baada ya kupokea pasi murua na kupiga shuti kali akiwa nje ya 18. Akitoa taarifa kutoka Moshi, mwenyekiti wa Wagosi Hemed Hilal ‘Aurora’ amesema “Katika dakika za lal...

Tuhuma nzito : Magufuli, Mwakyembe, Lukuvi kufikishwa kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge

Dk John Magufuli   Dar es Salaam.   Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imesema itawafikisha kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiwatuhumu kwa kulidanganya Bunge. Hatua hiyo ilitangazwa jana na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe baada ya kumhoji Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Herbert Mrango kuhusu hati ya mashaka waliyoipata kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), mwaka wa fedha 2011/2012. Kamati hiyo ilieleza kuwa kwenye Bajeti ya mwaka huo kiasi cha Sh348,075,000,000 fedha za ndani zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililotajwa kuwa ni la mradi maalumu (Special Road Construction Project) hazikutumiwa kwa malengo yaliyoelezwa bungeni. “Ni vizuri leo uiambie kamati fedha hizi ziliombwa kwa kitu gani na zilitumika kwa jambo gani. T...