Skip to main content

MAMA KANUMBA APANGA KUZIFANYIA SHEREHE TUZO ZA MWANAYE...!!


MAMA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amefunguka kuwa yupo katika maandalizi ya sherehe (mnuso) ya tuzo za mwanaye ambazo amezipata kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu afariki dunia.
Akichonga na Nasi juzikati, mama huyo alisema tangu Kanumba afariki dunia amepata tuzo zipatazo tano hali inayompa faraja na wakati mwingine kuhisi kama mwanaye bado yupo hai.
 “Niko kwenye maandalizi ya kufanya sherehe ya tuzo za mwanangu Kanumba kwani nimepewa tuzo zake zipatazo tano ambazo zimekuwa faraja sana kwangu na kujiona kama niko naye, kutokana na heshima ambayo anapewa najiandaa muda wowote nitazifanyia pati tuzo hizo,” alisema mama Kanumba.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com