Skip to main content

Mzigo huo hapo Ijumaa hii 28 - 6 - 2013 REDD'S MISS KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI



Mzigo huo hapo Ijumaa hii 28 - 6 - 2013 REDD'S MISS KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI Kuanzia saa 1:00 USIKU ndani ya Ukumbi wa MTENDA SUNSET. Warembo 18 kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Rukwa, Katavi, Njombe na Ruvuma ndani ya Stage moja katika Kinyang'anyiro hicho. Kiingilio ni kama Ifuatavyo VIP Tsh 25,000/= pamoja na CHAKULA BURE na KAWAIDA Tsh 10,000/=

Burudani FM ACADEMIA watakuwa wakisindikiza burudani safi kabisa.... REDD'S MISS KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI. Imedhaminiwa na REDDS, MOUNTAIN DEW, MICHUZI MEDIA GROUP, BOMBA FM, MAN COMPANY LTD, EBONY FM, SWEET FM & ROCK FM....... Karibuni Njoo ushuhudie mwenyewe nani kuibuka mshindi?.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga