Skip to main content

Mbeya yavamiwa na kigoma cha Coastal

 Shamrashamra zikianza katika mitaa ya Uyole leo asubuhi.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa katika stand kuu ya Mbeya.

Hapakutosha leo mjini Mbeya.
 Tofauti ya mashabiki wa Coastal Union na timu nyingine ni swala, hapa mashabiki ambao walikuwa wakitoka Tanga walishuka eneo la Mdaula kupata swala ya Ijumaa jana mchana.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa hotel waliyofikia jijini hapo.
Shabiki wa Coastal Union Maarufu anaekwenda kama "Nyang'au Dungumaro akiwa katika mishe mishe ndani ya Jiji la Mbeya.

Mwenyekiti wa K/Hamasa na Ushangiliaji Miraji Wandi akiwa na Mjumbe wa K/Tendaji ya Coastal Union Ndg. Salim Amir (Legend) pamoja na mshauri Mkuu wa Rais wa Coastal Union Ndg. Salim Bawazir wakiwa ndani ya Jiji la Mbeya.

COASTAL UNION
28/09/2013
MBEYA - TANZANIA

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga