Skip to main content

Mbeya yavamiwa na kigoma cha Coastal

 Shamrashamra zikianza katika mitaa ya Uyole leo asubuhi.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa katika stand kuu ya Mbeya.

Hapakutosha leo mjini Mbeya.
 Tofauti ya mashabiki wa Coastal Union na timu nyingine ni swala, hapa mashabiki ambao walikuwa wakitoka Tanga walishuka eneo la Mdaula kupata swala ya Ijumaa jana mchana.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa hotel waliyofikia jijini hapo.
Shabiki wa Coastal Union Maarufu anaekwenda kama "Nyang'au Dungumaro akiwa katika mishe mishe ndani ya Jiji la Mbeya.

Mwenyekiti wa K/Hamasa na Ushangiliaji Miraji Wandi akiwa na Mjumbe wa K/Tendaji ya Coastal Union Ndg. Salim Amir (Legend) pamoja na mshauri Mkuu wa Rais wa Coastal Union Ndg. Salim Bawazir wakiwa ndani ya Jiji la Mbeya.

COASTAL UNION
28/09/2013
MBEYA - TANZANIA

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com