Skip to main content

INDUSTRY SOUND KUANDAA TAMASHA LA KUITAMBULISHA STUDIO' TANGA

Akizungumza na blog hii kwa niaba ya mkurugenzi wa studio hiyo prudyuza chapsy, amesema tamasha hilo litafanyika mwanzoni mwa mwezi ujao ambalo litawakusanyisha  takribani nusu ya wasanii  wa tanga wakisindikizwa na wakali wengine ktk dar. tamasha hilo ambalo limepewa nguvu kubwa na  kampuni inayojishulisha na mambo ya kiburudani ya ZECHA ENTERTAINMENT ikshirikiana na umoja wa wasanii  waliorikodi studio hiyo litakuwa ni la kihistoria  kwani mpaka sasa maandalizi  yako vizuri tu, kwa upande wa prodjuza chapsy amesema, ''ninatahakikisha na ninaahidi kufanya kazi nzuri  kwa kila atakaye rikodi kwetu na mifano ipo namtaiona kwani mpaka sasa nimefanya kazi nawasanii wengi tu km wizaman,shaksi msela,man o na baguje zikiwa tayari mtazisikia

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga