Skip to main content

Wakenya kuripoti rushwa kwa Rais


Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyata amezindua Mtandao kwa ajili ya Watu kuripoti moja kwa moja kwake taarifa za matukio ya rushwa.
Watumiaji wa Mtandao huo watakuwa wakiweka picha za mnato na video pia na vielelezo vingine na kuelekeza malalamiko yao katika idara mbalimbali za serikali zilizoorodheshwa.
Pia watu watapata fursa ya kupeleka malalamiko yao juu ya vitendo vya rushwa kwa kutumia ujumbe mfupi wa maandishi moja kwa moja kwenda kwa Rais Kenyata.
Kwa mujibu wa shirika la kimataifa la Transparency International ni nadra kwa Watu kutoa taarifa juu ya vitendo vya rushwa nchini Kenya kwa kuwa wanahisi kuwa hakuna hatua zozote zitakazochukuliwa.
Kenya ni inaelezwa kuwa nchi ya 139 kati ya 176 zilizo katika nchi yenye rekodi ya kuhusika na vitendo vya rushwa.

Rais Kenyatta analenga kuisafisha Serikali yake na kupambana dhidi ya vitendo vya rushwa nchini Kenya.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com