Skip to main content

CINDY RULZ:- WASANII WA KIKE WANAOIMBA RNB WAMEANZA KUELEWEKA LAKINI NA HIPHOP HAITOCHUKUA MUDA KUELEWEKA BONGO



Rapper toka Bongo CORRINE MARY a.k.a CINDY RULZ ametoa pongezi na shukurani zake za dhati kwa wasanii wenzake wa kike ambao humpa ushirikiano kwa kuzisambaza nyimbo zake mpya mara kwa mara katika mitandao ya kijamii na media mbalimbali.




Akipiga Stori na kipengele cha Chumba Cha Sindano kupitia kipindi cha Kali za Bomba hapa Bomba FM Mbeya, hitmaker huyo wa Unstoppable, Party ya Cindy na Lets wait CINDY RULZ amesema licha ya muziki wa hiphop bongo kuwa na wadau wachache wanaousapoti lakini anatambua fika haitochukua muda muziki huo kuteka mashabiki wengi kutokana na kufuata misingi.




“Sasa hivi nachoshukuru Mungu ni kwamba wako more supportive wote female rappers ambao nawafahamu kawa wapo CHIKU K kuna DIVAwote tumekuwa response, maana nakumbuka hata nilipotoa hii Cover, isitoshe ali-post kwenye mitandao yake ya kijamii, CHIKU K alikuwa anaandika Status yaani ndo iko hivyo. Kwa sasa hivi tupo pamoja zaidi tunaandaa kitu kwa pamoja wote sisi sote wanne kwa hiyo siwezi kusema ni competition zaidi tunajitahidi kujisukuma sisi wenyewe ka wenyewe, lakini ukiangalia hao wengine sijui wanaoimba RNB  nini naweza nikasema kwamba it nice wameanza kueleweka zaidi kuliko sisi na sisi ndiko tunakoelekea” alisema CINDY RULZ




Kwa hatua nyingine Rapper CINDY RULZ ameweza kuelezea mikakati na ahadi alizopewa baada ya ngoma ya Lets Wait aliyomshirikisha DUNGAkuwekwa kwenye tovuti ya kimataifa www.hotnewhiphop.com na blogs mbili za Dearth Chambers na Grime Culture na kueleza furaha yake “(Anaanza kwa kucheka) kwanza sikutegemea kabisa kwa sababu unajua na-rap kwa Kiswahili  kwa hiyo ni tofauti kwa huko kuweza kuelewa hiyo lugha, lakini nacho shukuru Mungu  ndo hivyo walinitumia email wakasema wamependa quality ya nyimbo hata kama wao walikuwa wao walikuwa hawaelewi naongea nini, lakini delivery yangu iliwafurahisha niweze kusema kwa hiyo wakasema watakuwa wananisapoti  niendelee kutuma nyimbo zangu huko”.
BOFYA HAPA CHINI KUSIKILIZA MAHOJIANO ZAIDI. 

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com

Video: Blackchild – Put Inside

David Abdulichel, also known as BlackChild is a Ghanaian from Asanti origin, born and raised in Lagos Nigeria. BlackChild, who is a recording artist, song writer and performer started his music career back in 2000 and since then has released four singles. He has also worked with top producers in Nigeria such as Fliptyce, Spanky, Meca E & BrainMix to mention but few. BlackChild Abdul rose to prominence with his hit songs “Treasure”, “Ele” featuring Rock Steady, “Could It Be Love” featuring Cartiar, “All I Need” featuring Solid Star. This time around he comes out with “Put Inside” which sees him delivering lines in french and his native language and is steadily generating buzz and enjoying airplay on radio stations within and outside Lagos. Listen up!