Skip to main content

MSANII SAYNAG AELEZA KUWA KIFO CHA MAMA YAKE NDIO CHANZO CHA UKIMYA LAKINI KWA SASA YUPO MBIONI KURUDI KATIKA GEMU(AUDIO)


Saynag katika pozi.

Hitmaker wa Inatosha, Nafsi inauma SAYNAG ABRIHHAN a.k.a SAYNAG amesema sababu za ukimya wake katika gemu umetokana na matatizo ya kifamilia baada ya kufiwa na Mama yake mzazi.

Akipiga stori na Chumba Cha Sindano kupitia Kipindi cha Kali za Bomba cha Kituo cha redio Bomba FM Mbeya, SAYNAG ameeleza kuwa “kuna watu wanajua mimi nilifikwa na matatizo na msiba, kuna wengine hawajui hilo suala yaani yote hayo ni kutokana na matatizo ambayo marehemu mama yangu alikuwa nayo. Kwanza alikuwa anaumwa sana kwa hiyo nilikuwa sina muda wa kuingia studio kurekodi, kichwa change chote kilikuwa kina muwaza kwanza mama yangu, nilikuwa nataka apate afueni kwanza halafu niendelee na kazi zangu lakini haikuwa riziki kwa hiyo pia nikazindi kuchanganyikiwa kwamba nimemkosa pamoja na jitihada zangu, sikuwa na muda wa kufikiria kutoa nyimbo kwa wakate ule, sikuwa na muda wa kufikiria show, siku na muda wa kufikiria chochote zaidi ya kile kitu ambacho kilichokuwa kinaniumiza,  lakini hayazoeleki ila kutokana na hali halisi inabidi nikubaliane na hali halisi ilivyo kwa sasa inabidi niendelee tu na kazi zangu, lakini ni mtu aliyekuwa ananipa sapoti kubwa katika kazi zangu”.

Aidha SAYNAG amesema kuna changamoto nyingi ambapo kwa baadhi ya wasanii wenzake wenye menejimenti za uhakika wapo radhi wamzipe mtu Fulani atoke mtu Fulani kwa ushwawishi wa nyimbo kutopata airtime katika vituo vya redio na Tv kwa wasanii wengine wasio na menejimenti.
 “Lakini naamini kama wewe msanii unajua nini unachokifanya unaendelea tu kufanya kama mimi au watu wengine ambao hawasimamiwi au wanajisimamia mwenyewe, Kipaji mimi kama nakipaji  changu najiamini sehemu wowote hata kama mtu ataamua anizibe mimi lakini still wapo wanaokubali na wanataka uwepo kila siku siangalii nani yupo chini nani yupo juu mimi naangalia kazi yangu na mashabiki wanahitaji kitu gani, mara nyingi nilikuwa nasikia sana mashabiki wanalalamika kwenye mainternet kwamba sijatoa nyimbo mbona niko kimya, wanaona kama nimeacha gemu ni kipaji ambacho ninacho mwenyewe yaani, sifosiwi namaanisha sitafuti mtu anitungie, kwa maana kwamba amesusa kunitungia sasa hivi  wimbo, kwa hiyo nimeamua kunyamazwa kwa sababu sinanyimbo ya kutoa hapana, natunga mwenyewe natafuta melody mwenyewe, kwa hiyo ni kitu ambacho ninacho milele siwezi kukiacha kwa hiyo wao wasubirie tu sasa hivi nipo vizuri nitaachia track niliyomshirikisha BEKA sambamba na video niliyofanya na BLUE.
BOFYA HAPA CHINI KUMSIKILIZA ZAIDI SAYNAG.

Popular posts from this blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2013 wilaya ya tanga mjini pekee!!!

ARAFAH ENG-MED PRIMARY SCHOOL - P2007029 AVICENNA ENG -MD PRIMARY SCHOOL - P2007051 AZIMIO PRIMARY SCHOOL - P2007032 BOMBO PRIMARY SCHOOL - P2007001 BURHANI ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007055 CHANGA ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007033 CHANGA PRIMARY SCHOOL - P2007002 CHUDA PRIMARY SCHOOL - P2007034 CHUMA PRIMARY SCHOOL - P2007003 CHUMBAGENI PRIMARY SCHOOL - P2007004 DARAJANI PRIMARY SCHOOL - P2007005 DAYSTAR ENG - MD PRIMARY SCHOOL - P2007053 DONGE PRIMARY SCHOOL - P2007035 EBEN EZER ENG- MD PR SCHOOL - P2007048 ECKERNFORDE ENG-MD PRIMARY SCHOOL - P2007044 GOFU-JUU PRIMARY SCHOOL - P2007006 INDIAN OCEAN ENG-MED PR SCHOOL - P2007049 JABIR BIN ZAID ENG- MED PRIMARY SCHOOL - P2007052 JUHUDI PRIMARY SCHOOL - P2007036 KANA CENTRAL ENGMED PRIMARY SCHOOL - P2007054 KANA PRIMARY SCHOOL - P2007007 KISOSORA PRIMARY SCHOOL - P2007008 KOMBEZI PRIMARY SCHOOL - P2007009 KWAKAEZA PRIMARY SCHOOL - P2007026 KWANJEKA PRIMARY SCHOOL - P2007010 MABAW...

MAJINA YA WASHIRIKI NA WA WEZESHAJI WA FILM YA HOUSE GIRL!

CAST SELEMANI MOHAMED / BUNTO ANDREW / C-O YORAM MWETA / MGANGA MWANTUMU / MKE WA C-O JOHN / MCHUNGAJI BI FURURATU / JINI WAOMBOLEZAJI SAUMU HUSENI HASHIMU BABA RASTA MAN YOHANNA TAMILWAI SAIDI MWALUBADU SEMY STIR SELEMANI MOHAMEDI  AND ANDREW C-O LOCATION ATHUMANI HAMADI MAKE UP MWASHAMBA RAMADHANI BEDUI DEREVA DAUDI SPOONSER SAIDI SHABANI AND THE FRESH2012 GLOB SOUND PRODUCER J-B LIGHT YOHANNA TAMILWAI THENK YOU THE FRESH ENERTAINMENT AND THE FRESH2012 BLOG CONTACTS 0653785027 +255714091786 ZAIDI TEMBELEA www.the-fresh.blogspot.com ADRESS Thefresh@ymail.com AU Saidshabani60@gmai.com

Video: Blackchild – Put Inside

David Abdulichel, also known as BlackChild is a Ghanaian from Asanti origin, born and raised in Lagos Nigeria. BlackChild, who is a recording artist, song writer and performer started his music career back in 2000 and since then has released four singles. He has also worked with top producers in Nigeria such as Fliptyce, Spanky, Meca E & BrainMix to mention but few. BlackChild Abdul rose to prominence with his hit songs “Treasure”, “Ele” featuring Rock Steady, “Could It Be Love” featuring Cartiar, “All I Need” featuring Solid Star. This time around he comes out with “Put Inside” which sees him delivering lines in french and his native language and is steadily generating buzz and enjoying airplay on radio stations within and outside Lagos. Listen up!