Skip to main content
Nchini Tanzania siasa zinaendelea kupamba moto kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.
Hii leo waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa amechukua rasmi fomu za kugombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA. Lakini kumekuwa na maswali kuhusu hatma ya Mwenyekiti wa chama hicho Wilbrod Slaa ambaye hapo awali kabla ya Lowassa kujiunga nacho kutoka Chama cha Mapinduzi CCM, alipigiwa upatu kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi wa rais.
Popular posts from this blog