Skip to main content

Chris Brown avamiwa nyumbani kwake na watu wenye silaha za Moto.


Hili litakuwa ni tukio la pili la uvamizi ambalo litakuwa limempata Chris Brown katika mwaka huu, ambapo mara ya kwanza ilikuwa mwezi may mwezi huu ambapo alivamiwa na watu wenye silaha Nyumbani kwake.
Chris Brown anaishi katika mitaa ya Tarzana Mjini Los Angeles Calfonia nchini Marekani, wakati majambazi hayo yalipovamia nyumbani kwa Chris hawakuweza kumkuta na walifanikiwa kuiba vitu vyenye thamani kubwa.
Kwa mujibu wa Mtandao wa TMZ wamesema kuwa Tukio hilo lilitokea siku ya tarehe 15 mida ya sa 8 wakati Chris Brown akiwa kwenye starehe.

Popular posts from this blog

Goog music from tng jojo yatakwisha hii apa

DownLoad Na Sikiliza Joint Mpya Ya Squizer Ft Belle 9 - Mtemi Pesa

Tugumiane tanga flevani 10_00AM-12_00PM 106.1Mhz @mwambaofm_ fm radio tanga