
Mbunge mtetezi na mwakilishi wa CCM mh. Omari R Nundu Alingia kimnya kimnya Ofisini kwa Mkurugenzi wa Jiji la Tanga kunako saa nne Asubuhi akisindikizwa na Wana CCM wapatao nane mpaka 10 hivi.

Pia Chama cha Wananchi CUF kiliingia kwa Vishindo kwa Msafara wa Magari na Honi wakimsindikiza Mpeperusha bendera wao Mh. Mussa Mbaruku, akina mama na baba wakiwa na vijana walionekana wakiwa na Hamasa katika kutimiza zoezi hilo la kurudisha Fomu. hii ilikuwa ni kama saasaba kasoro hiv